PASAKA ni Sikukuu muhimu sana katika kalenda ya Kikristo na huadhimishwa na maelfu ya watu duaniani. Pamoja na umuhumi wake ukweli huo, watu wengi wanasherehekea Pasaka pasipo kuifahamu vizuri.
KIFO cha Askofu Mkuu wa Kanisa la Methodist Tanzania, Joseph Bundala, kilichotokana na kujinyonga kimeibua maswali magumu na mshangao kwa jamii kutokana na kitendo hicho kuwa kigeni ndani ya jamii.