Kwa Wakristo wengi duniani, tarehe 25 Desemba huadhimishwa kama siku ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo, mwanaume anayeaminika kuishi zaidi ya miaka 2,000 iliyopita. Hata hivyo, kwa karne nyingi kumekuwepo ...
Uso wake umechorwa zaidi ya nyuso zote duniani, na anatambulika kila mahali na wasanii wa Kizungu kama jamaa aliyevaa kanzu, ana kidevu kirefu sawa na nywele. Lakini je, alikuwa anafanana hivi kweli ?